Mohamed Salah akishangilia na Virgil van Dijk baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Molineux, West Midlands. Bao la pili la Liverpool lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 68 na kwa ushindi huo timu ya kocha Jurgen Klopp inafikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi 18, ikiendelea kuongoza ligi kwa pointi nne zaidi ya Manchester City wenye pointi 44 za mechi 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Allen believes he's found the balance to keep on partying but stay
focused on his game as he looks to land his first-ever Snooker world title
-
Mark Allen believes he has found the right balance and there is still time
to party as he bids to win his first Snooker world title.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment