Baadhi ya wachezaji wa Pilsner FC ya Dar es Salaam, iliyokuwa inamilikiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) iliyomaliza nafasi ya pili kwenye Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1989, nyuma ya Yanga SC waliobuka mabingwa. Kutoka kulia Charles Msami (marehemu), Abdallah Suleiman ‘Kaburu’, Frank Muhando, Athanas Michael, Suleiman Mkati, Andrew Godwin, Rajab Rashid ‘Double R’ (marehemu) na Abdallah Sumbwa (marehemu).
Europa League: Ally McCoist insists Rangers haven't 'let anyone down at all' in Frankfurt defeat
-
The Scottish side suffered heartbreak in Seville after losing 5-4 to
Eintracht Frankfurt on penalties to see their 50-year wait for a European
trophy conti...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni