Kiungo Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 16 tu katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Qarabaq kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inamaliza na pointi 16 mbele ya Sporting iliyomaliza na pointi 13 wakizipiku Vorskla na Qarabag zilizomaliza na pointi tatu kila moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Qualifier Chwalinska sets up French Open final against Andreeva
-
Qualifier Maja Chwalinska is one win away from a fairytale French Open
triumph as she sets up a final showdown against Russian teenager Mirra
Andreeva.
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment