Kiungo Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 16 tu katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Qarabaq kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inamaliza na pointi 16 mbele ya Sporting iliyomaliza na pointi 13 wakizipiku Vorskla na Qarabag zilizomaliza na pointi tatu kila moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool documentary showing Jurgen Klopp's final months as manager still
yet to be picked up by a streaming service as hopes of a fairytale ending
disappear
-
Talks are still taking place over who will show the eight-episode series,
which is due to be released in August when the new Premier League season
begins.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment