Kiungo Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 16 tu katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Qarabaq kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inamaliza na pointi 16 mbele ya Sporting iliyomaliza na pointi 13 wakizipiku Vorskla na Qarabag zilizomaliza na pointi tatu kila moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC national scribe leads governorship campaign in Osun, assures of
improved civil servants’ welfare
-
The National Secretary of the All Progressives Congress (APC), Ajibola
Basiru, led the party’s gubernatorial campaign in Ila-Orangun on Monday,
throwing ...
9 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment