Kiungo N'Golo Kante akipongezwa na wachezaji wenzake, Ross Barkley na Eden Hazard baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Chelsea inafikisha pointi 43 kwa ushindi huo kwenye mechi ya 20, ingawa itaendelea kukaa nafasi ya nne nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 45 za mechi 20 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ESPN: Steph Curry's Leadership of Draymond Green Questioned by 'High-Level'
Insiders
-
Some around the NBA are beginning to ask questions of Golden State Warriors
star Stephen Curry after Draymond Green was ejected four minutes into
Wednesday's…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment