Kiungo N'Golo Kante akipongezwa na wachezaji wenzake, Ross Barkley na Eden Hazard baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Chelsea inafikisha pointi 43 kwa ushindi huo kwenye mechi ya 20, ingawa itaendelea kukaa nafasi ya nne nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 45 za mechi 20 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Qualifier Chwalinska sets up French Open final against Andreeva
-
Qualifier Maja Chwalinska is one win away from a fairytale French Open
triumph as she sets up a final showdown against Russian teenager Mirra
Andreeva.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment