Kiungo N'Golo Kante akipongezwa na wachezaji wenzake, Ross Barkley na Eden Hazard baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Chelsea inafikisha pointi 43 kwa ushindi huo kwenye mechi ya 20, ingawa itaendelea kukaa nafasi ya nne nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 45 za mechi 20 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dramatic final day of Premier League has EIGHT games with something at stake
-
Eight games are alive with a title race to finish, a top four spot to seal,
relegation still looming large for two teams and Manchester United may yet
fini...
Dakika 19 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni