Kiungo N'Golo Kante akipongezwa na wachezaji wenzake, Ross Barkley na Eden Hazard baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Chelsea inafikisha pointi 43 kwa ushindi huo kwenye mechi ya 20, ingawa itaendelea kukaa nafasi ya nne nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 45 za mechi 20 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria can’t build strong economy without security –Gbenga Daniel
-
Former Governor of Ogun State, Senator Gbenga Daniel, has said that Nigeria
cannot build a strong economy without security, nor can it sustain lasting
se...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment