Kiungo N'Golo Kante akipongezwa na wachezaji wenzake, Ross Barkley na Eden Hazard baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Chelsea inafikisha pointi 43 kwa ushindi huo kwenye mechi ya 20, ingawa itaendelea kukaa nafasi ya nne nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 45 za mechi 20 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McCullum wants to stay as England coach – will he get the chance?
-
Brendon McCullum wants to stay as England coach but it is still up for
debate whether he will get that chance, writes Matthew Henry.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment