Son Heung-Min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la tatu dakika ya 55 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika ya tisa na Lucas Moura dakika ya 51, wakati la Southampton limefungwa na Charlie Austin dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC legend slams 'disgusting' fighter who made vile Michelle Obama slur at
Trump's White House event
-
The furious backlash follows UFC Freedom 250, a unique event hosted
directly on the White House lawn by President Trump, where Josh Hokit made
a vile remar...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment