Edinson Cavani akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Paris Saint-Germain kwa penalti dakika ya 71 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Strasbourg kwenye mchezo wa Ligue !, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Meinau. Bao la Strasbourg lilifungwa na Kenny Lala kwa penalti pia dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Something I've never seen in 50 years of watching football'
-
There was an unusual addition to Chelsea's huddle before their game against
Newcastle at Stamford Bridge - referee Paul Tierney.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment