Edinson Cavani akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Paris Saint-Germain kwa penalti dakika ya 71 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Strasbourg kwenye mchezo wa Ligue !, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Meinau. Bao la Strasbourg lilifungwa na Kenny Lala kwa penalti pia dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Conor McGregor sends Ryan Garcia X-rated threat and tells boxer to 'get
your head together or kill yourself' after positive drugs test
-
Garcia failed anti-doping tests the day before and the day of his upset win
over Devin Haney last month. The 25-year-old tested positive for the
performanc...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment