Raul Jimenez akishangilia baada ya kuifungia Wolverhampton Wanderers bao la kwanza dakika ya 59 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili la Wolves lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 63, wakati la Chelsea lilifungwa na Ruben Loftus-Cheek dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Major update on LIV Golf 'shutdown' emerges as rebel tour execs hold
emergency New York summit amid fears of collapse
-
The Saudi-backed rebel tour was thrown into chaos on Wednesday amid burning
speculation over a potential collapse, leaving its golfers and staff
desperatel...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment