Raul Jimenez akishangilia baada ya kuifungia Wolverhampton Wanderers bao la kwanza dakika ya 59 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili la Wolves lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 63, wakati la Chelsea lilifungwa na Ruben Loftus-Cheek dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hooked after an hour - did Vuskovic boost his Spurs chances?
-
Many Tottenham fans will have got a first glimpse of Luka Vuskovic last
night - so what can they expect from the highly sought-after defender?
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment