Raul Jimenez akishangilia baada ya kuifungia Wolverhampton Wanderers bao la kwanza dakika ya 59 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili la Wolves lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 63, wakati la Chelsea lilifungwa na Ruben Loftus-Cheek dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund is spotted looking bemused at Erik ten Hag's decision to
substitute Kobbie Mainoo in Man United's draw with Burnley - which sparked
furious reaction from fans
-
Rasmus Hojlund (inset) cut a bemused figure as Manchester United manager
Erik ten Hag decided to bring midfielder Kobbie Mainoo (left) off during
Saturday'...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment