Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 90 na ushei ikiwalaza wenyeji, Burnley 3-1 usiku wa jana Uwanja wa Turf Moor katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na James Milner dakika ya 62 na Roberto Firmino dakika ya 69 wakati la Burnley lilifungwa na Jack Cork dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tuchel's complaints lead to Fifa moving photographers
-
England head coach Thomas Tuchel has won a battle with Fifa to get
photographers moved away from the bench during the national anthems.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment