Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 90 na ushei ikiwalaza wenyeji, Burnley 3-1 usiku wa jana Uwanja wa Turf Moor katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na James Milner dakika ya 62 na Roberto Firmino dakika ya 69 wakati la Burnley lilifungwa na Jack Cork dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ian Wright and Alan Shearer rip apart Anthony Taylor's 'very messy'
decision which denied Cody Gakpo a clear goalscoring opportunity in
Liverpool's 2-2 draw with West Ham
-
The Reds' title hopes took yet another dent as there were held by David
Moyes ' men at the London Stadium, with the game including a controversial
call by ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment