Jesse Lingard akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 2-2 na Arsenal usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza Man United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 30, wakati mabao ya Arsenal yalifungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 26 na Marcos Rojo aliyejifunga dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristian Romero, Micky van de Ven and Xavi Simons gone, the rivals ready to
poach their young stars, a £250m black hole and why promotion will be an
uphill battle: This is what will happen if Tottenham get relegated
-
None of Spurs' players want to play second-tier football. They will think
they are elite players with international careers, image rights and sponsor
deals...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment