Jesse Lingard akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 2-2 na Arsenal usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza Man United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 30, wakati mabao ya Arsenal yalifungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 26 na Marcos Rojo aliyejifunga dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris on the march again as he claims pole for Dutch Grand Prix - as
George Russell boosted on return from summer break
-
JONATHAN MCEVOY IN ZANDVOORT: Lando Norris wears No1 on his back and on his
car, but it has not seemed that way as often as he would have liked during
his ...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment