Jesse Lingard akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 2-2 na Arsenal usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza Man United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 30, wakati mabao ya Arsenal yalifungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 26 na Marcos Rojo aliyejifunga dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mokoena's late penalty earns South Africa draw against Czech Republic
-
Teboho Mokoena scores an 83rd-minute penalty to earn South Africa a draw
against the Czech Republic at the World Cup.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment