Jesse Lingard akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 2-2 na Arsenal usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza Man United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 30, wakati mabao ya Arsenal yalifungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 26 na Marcos Rojo aliyejifunga dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Execs Expect 'Active' Summer on Trade Market Due to New CBA
Restrictions
-
The upcoming NBA offseason is reportedly expected to be a busy one for
teams hoping to avoid penalties imposed on high-spending franchises by the
new…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment