Mshambuliaji Denis Suarez akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 26 na 70 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Cultural Leonesa kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Munir dakika ya18 na Malcom dakika ya 43, wakati la Cultural Leonesa lilifungwa na Josep Sene dakika ya 54. Barca inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 1-0 ugenini kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham disagrees with Real Madrid team-mate Aurelien Tchouameni
over Bayern Munich star's ability... as he insists to the French
midfielder: 'He's better than your boy!'
-
Eyebrows were raised when the 30-year-old joined Thomas Tuchel 's side on
loan after falling out of favour at Tottenham following the appointment of
Ange P...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment