Son Heung Min akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kusawazisha dakika ya 25 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja Vicarage Road, Watford, Bao la Watford limefungwa na Christian Kabasele dakika ya 13 katika mchezo ambao, Davinson Sanchez wa Spurs alitolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa mopja kwa kugombana na kiungo Mbrazili, Richarlison PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics' Jayson Tatum Explains Why He Wanted to Face Heat in NBA Playoffs
1st Round
-
Boston Celtics forward Jayson Tatum says his team was "relaxed" during last
season's first-round series against the Atlanta Hawks, and that he wanted
to st...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment