Roberto Firmino (kushoto) akinyoosha mkono juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 31 na 48 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The American Express Community mjini Falmer, East Sussex. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Emre Can dakika ya 30, Roberto Firmino dakika ya 87 na Lewis Dunk aliyejifunga dakika ya 89 kufuatia kubabatizwa na mpira wa Coutinho. Bao la wenyeji, Brighton & Hove Albion limefungwa na Glenn Murray kwa penalti dakika ya 51 baada ya Shane Duffy kuchezewa faulo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson admits he constantly blew money on lawsuits after 'getting
caught up in a vortex of destroying' amid struggles with fame
-
Mike Tyson admitted he constantly blew money on lawsuits after 'getting
caught up in a vortex of destroying' during his newfound fame during his
initial ri...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment