Sam Allardyce akishangilia baada ya kuanza kwa ushindi wa 2-0, mabao ya Gylfi Sigurdsson dakika ya 47 na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 73 katika klabu mpya, Everton ikiilaza Huddersfield Town leo Uwanja wa Goodison Park kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Huo ni ushindi wa pili mfululizo, baada ya Jumatano kuifunga 4-0 West Ham United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
When this photo was taken, Zoe Marshall was the queen of footy WAGs. Now
she reveals the truth behind what she was going through at the time
-
High-profile WAG Zoe Marshall looked like she was living the dream when she
was pictured with husband Benji in 2011, but the reality was very different.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment