Sam Allardyce akishangilia baada ya kuanza kwa ushindi wa 2-0, mabao ya Gylfi Sigurdsson dakika ya 47 na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 73 katika klabu mpya, Everton ikiilaza Huddersfield Town leo Uwanja wa Goodison Park kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Huo ni ushindi wa pili mfululizo, baada ya Jumatano kuifunga 4-0 West Ham United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shaffy Bello to women: You are worth more than ‘runs’
-
Veteran Nollywood actress has delivered a strong message to young women,
urging them not to define their worth through transactional relationships,
socia...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment