Corentin Tolisso akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Bayern Munich dakika za 37 na 69 usiku wa jana katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Paris Saint-Germain kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani. Robert Lewansdowsk alifunga la kwanza dakika ya nane, wakati bao pekee la PSG lilifungwa na chipukizi Kylian Mbappe dakika ya 50 na kwa matokeo hayo, timu zote zinamaliza na pointi 15 hivyo kutinga pamoja hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Senegal stripped of AFCON title with rivals Morocco handed trophy instead -
58 DAYS after hot-tempered clash which saw them walk off in protest at a
late penalty
-
The Confederation of African Football appeal board have taken the
unprecedented action after Senegal's players walked off the field in
protest following a ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment