Corentin Tolisso akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Bayern Munich dakika za 37 na 69 usiku wa jana katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Paris Saint-Germain kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani. Robert Lewansdowsk alifunga la kwanza dakika ya nane, wakati bao pekee la PSG lilifungwa na chipukizi Kylian Mbappe dakika ya 50 na kwa matokeo hayo, timu zote zinamaliza na pointi 15 hivyo kutinga pamoja hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The £100m final Man Utd cannot afford to lose?
-
Manchester United play "the most financially important match in the club's
history" against Tottenham on Wednesday - BBC sports editor Dan Roan
explains wh...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment