Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata akiugulia maumivu huku akienda chini baada ya kugongana na beki wa Atletico Madrid, Lucas usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa mwisho wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 1-1. Saul Niguez dakika ya 56 kabla ya Stefan Savic kujifunga kuipatia Chelsea bao la kusawazisha dakika ya 75 na kuiwezesha kumaliza nafasi ya pili kwenye kundi hilo kwa kukufikisha pointi 11, hivyo kuungana na vinara Roma kwenda 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrick Mahomes gives peek of charity gala as Travis Kelce, Taylor Swift
and Co hit red carpet for swanky Las Vegas auction - where the Chiefs duo
combine for a hilarious touchdown pass - before QB and friends enjoy round
of golf
-
Patrick Mahomes has given fans an inside look at his Las Vegas charity gala
after a host of star names came together to raise money for his foundation
this...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment