Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata akiugulia maumivu huku akienda chini baada ya kugongana na beki wa Atletico Madrid, Lucas usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa mwisho wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 1-1. Saul Niguez dakika ya 56 kabla ya Stefan Savic kujifunga kuipatia Chelsea bao la kusawazisha dakika ya 75 na kuiwezesha kumaliza nafasi ya pili kwenye kundi hilo kwa kukufikisha pointi 11, hivyo kuungana na vinara Roma kwenda 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yes, Trent Alexander-Arnold has had to adapt to a more conventional role at
Real Madrid... but there are signs his controversial move from Liverpool is
finally paying off, writes IAN LADYMAN
-
So Trent Alexander-Arnold will play in the Champions League quarter-finals
for the fifth time and this time with Real Madrid. He will perhaps feel
that his...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment