Winga wa zamani wa Chelsea, Juan Cuadrado akikimbia kushangilai baada ya kuifungia Juventus bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Olympiacos Uwanja wa Georgios Karaiskaki mjini Piraeus, Ugiriki. Bao la pili lilifungwa na Federico Bernardeschi dakika ya 89 na sasa Juventus inafikisha pointi 11 na kumaliza nafasi ya pili kwenye Kundi D, nyuma ya vinara, Barcelona wenye poinit 14 hivyo wote wanakwenda 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
One Of NYC's Oldest Operating Bars Was Once A Star In Your Favorite Mob
Movie
-
You may not know this nearly 200-year-old tavern by name, but you'll
recognize it as a background in one of Martin Scorsese's most memorable
films.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment