Winga wa zamani wa Chelsea, Juan Cuadrado akikimbia kushangilai baada ya kuifungia Juventus bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Olympiacos Uwanja wa Georgios Karaiskaki mjini Piraeus, Ugiriki. Bao la pili lilifungwa na Federico Bernardeschi dakika ya 89 na sasa Juventus inafikisha pointi 11 na kumaliza nafasi ya pili kwenye Kundi D, nyuma ya vinara, Barcelona wenye poinit 14 hivyo wote wanakwenda 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees' Gerrit Cole to Throw off Mound amid Elbow Injury Rehab, Aaron
Boone Says
-
New York Yankees manager Aaron Boone revealed that ace Gerrit Cole is
expected to throw off the mound on Saturday as he continues his recovery,
according to…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment