Paco Alcacer akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 59 akiunganisha kona ya Denis Suarez katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sporting Lisbon usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la pili Jeremy Mathieu alijifunga dakika ya 90 na ushei na sasa kikosi cha kocha Ernesto Valverde kinakwenda 16 Bora kama kinara wa kundi kwa pointi zake 14 mbele ya Juventus iliyomaliza na pointi 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It's not quite vodka Red Bull! Jamie Vardy chugs champagne as Leicester
celebrate title success... after the evergreen striker detailed his
unconventional pre-match diet
-
A clip shared on Tik Tok showed Vardy taking a hearty swig of champagne on
the pitch as the group honoured their achievement in front of the Foxes
faithful.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment