Paco Alcacer akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 59 akiunganisha kona ya Denis Suarez katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sporting Lisbon usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la pili Jeremy Mathieu alijifunga dakika ya 90 na ushei na sasa kikosi cha kocha Ernesto Valverde kinakwenda 16 Bora kama kinara wa kundi kwa pointi zake 14 mbele ya Juventus iliyomaliza na pointi 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dave Portnoy's March Madness 'over' already after backing surprise team in
First Four
-
While the first round of the NCAA men's tournament doesn't begin until
Thursday, there were two games of First Four action on Tuesday, including a
pair of ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment