Wachezaji wa Barcelona wakiwa wanyonge baada ya kuwaruhusu Celta Vigo kupata bao la kusawazisha katika mchezo wa La Liga uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Camp Nou. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi dakika ya 22 na Luis Suarez dakika ya 62, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Iago Aspas dakika ya 20 na Maxi Gomez dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Najee Harris' 5th-Year Contract Option Declined by Steelers
-
The Pittsburgh Steelers will not pick up running back Najee Harris'
fifth-year option for the 2025 season, according to NFL insider Jordan
Schultz. The opt...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment