Wachezaji wa Barcelona wakiwa wanyonge baada ya kuwaruhusu Celta Vigo kupata bao la kusawazisha katika mchezo wa La Liga uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Camp Nou. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi dakika ya 22 na Luis Suarez dakika ya 62, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Iago Aspas dakika ya 20 na Maxi Gomez dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Advantage Man City? 'Queen bee' Guardiola leads them to summit
-
It took just five minutes for chants of "we are top of the league" to ring
out around Turf Moor, as the title pendulum continues to shift towards
Mancheste...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment