Mshambuliaji chipukizi Marcus Rashford (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 66 ikiilaza 2-1 CSKA Moscow usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. CSKA walitangulia kwa bao la Vitinho dakika ya 45 kabla ya Romelu Lukaku kuisawazishia Man United dakika ya 64 na hivyo kukamilisha mechi za kundi hilo kileleni kwa pointi zake 15, mbele ya FC Basle yenye pointi 12 na zote zinafuzu 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Team USA lose World Baseball Classic final to Venezuela as Aaron Judge
falls flat on the big stage again
-
Team USA has lost the final of the World Baseball Classic to Venezuela on a
catastrophic night for some of the all-time greats of the game in Miami.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment