Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 21 na 74 kwa penalti katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao la pili la The Blues lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33, wakati la Newcastle lilifungwa na Dwight Gayle dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The American nightmare! Birmingham City are staring relegation in the face
after the disastrous hiring and firing of Wayne Rooney in the first season
since the club's Tom Brady-fronted takeover
-
This was sold as the year Birmingham City would embrace the American Dream
but the reality is proving a nightmare as they stare relegation in the face
on t...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment