Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 21 na 74 kwa penalti katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao la pili la The Blues lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33, wakati la Newcastle lilifungwa na Dwight Gayle dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Judiciary, lawyers must safeguard Nigeria’s future – Jonathan
-
Former President Goodluck Jonathan has challenged the Bench and Bar to
safeguard Nigeria’s future through upholding justice, strengthening
institutions, ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment