Riyad Mahrez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la kusawazisha na la kwanza kwake msimu huu dakika ya 80 katika sare ya 1-1 na West Brom kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power mjini Leicester, Leicestershire kufuatia wageni kutangulia kwa bao la Nacer Chadli dakia ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stupid or valid? Did Brook's shot put Australia on the brink?
-
Harry Brook's dismissal put England on the brink of Ashes defeat but was
his reverse sweep stupid or valid?
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment