Riyad Mahrez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la kusawazisha na la kwanza kwake msimu huu dakika ya 80 katika sare ya 1-1 na West Brom kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power mjini Leicester, Leicestershire kufuatia wageni kutangulia kwa bao la Nacer Chadli dakia ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: NDC names Electoral Committee for primaries
-
The Nigerian Democratic Congress (NDC) has announced a list of Electoral
Committee Members to conduct primary elections. The exercise is for the
State Ho...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment