Thiago Alcântara wa Hispania akiruka juu dhidi ya mabeki wa Albania kuifungia La Roja bao la tatu dakika 16 katika ushindi wa 3-0 kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu la Dunia mwakani Urusi. Mabao mengine ya wenyeji yamefungwa na Rodrigo dakika ya 16 na Isco dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment