Nyota wa Brazil wanaocheza Ligi Kuu ya England, Philippe Coutinho, Fernandinho, Gabriel Jesus, Ederson na Roberto Firmino wakiwa kwenye ndege jana usiku kurejea kwenye klabu zao baada ya kuichezea timu yao ya taifa katika mechi mbili mfululizo za kufuzu Kombe la Dunia ikishinda 2-0 dhidi ya Ecuador Ijumaa nyumbani kabla ya kwenda kulazimisha sare ya 1-1 ugenini na Colombia jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy can blow this Masters, win it, or there's another option |
Opinion
-
Rory McIlroy didn’t lose this Masters on moving day, but he'll need to play
like a champion on Sunday at Augusta.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment