• HABARI MPYA

    Wednesday, September 06, 2017

    WABRAZIL WA ENGLAND WAKIREJEA KAZINI BAADA YA MAJUKUMU YA KITAIFA

    Nyota wa Brazil wanaocheza Ligi Kuu ya England, Philippe Coutinho, Fernandinho, Gabriel Jesus, Ederson na Roberto Firmino wakiwa kwenye ndege jana usiku kurejea kwenye klabu zao baada ya kuichezea timu yao ya taifa katika mechi mbili mfululizo za kufuzu Kombe la Dunia ikishinda 2-0 dhidi ya Ecuador Ijumaa nyumbani kabla ya kwenda kulazimisha sare ya 1-1 ugenini na Colombia jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WABRAZIL WA ENGLAND WAKIREJEA KAZINI BAADA YA MAJUKUMU YA KITAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top