Nyota wa Brazil wanaocheza Ligi Kuu ya England, Philippe Coutinho, Fernandinho, Gabriel Jesus, Ederson na Roberto Firmino wakiwa kwenye ndege jana usiku kurejea kwenye klabu zao baada ya kuichezea timu yao ya taifa katika mechi mbili mfululizo za kufuzu Kombe la Dunia ikishinda 2-0 dhidi ya Ecuador Ijumaa nyumbani kabla ya kwenda kulazimisha sare ya 1-1 ugenini na Colombia jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment