Nyota wa Brazil wanaocheza Ligi Kuu ya England, Philippe Coutinho, Fernandinho, Gabriel Jesus, Ederson na Roberto Firmino wakiwa kwenye ndege jana usiku kurejea kwenye klabu zao baada ya kuichezea timu yao ya taifa katika mechi mbili mfululizo za kufuzu Kombe la Dunia ikishinda 2-0 dhidi ya Ecuador Ijumaa nyumbani kabla ya kwenda kulazimisha sare ya 1-1 ugenini na Colombia jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid attacker courted by Man City, Bayern and Liverpool amid
resurgent form
-
Rodrygo Goes is finally seeing the light at the end of the tunnel. After a
challenging start to the season defined by a 32-game goal drought, the
Brazilian...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment