Winga wa Yanga, Simon Msuva akiwatoka wachezaji wa Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Jamhuri, Morogoro timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akipiga shuti baada ya kumzidi beki wa Mtibwa, Salim Mbonde
Beki wa Yanga, Oscar Joshua akirusha mpira jana
Simon Msuva (kulia) akijadiliana na mchezaji mwenzake, Juma Mahadhi
Kikosi cha Mtibwa Sugar kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wa jana
Rory McIlroy hilariously chugs a beer before belting out Journey's 'Don't
Stop Believin' on stage with Shane Lowry after the pair's victory at the
Zurich Classic in New Orleans
-
McIlroy and Lowry came through a playoff to win the competition at TPC
Louisiana, having put it on their respective schedules in a bid to jump up
the FedEx...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment