Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta akimuacha chini beki wa Gent, Stefan Mitrovic katika ushindi wa 5-2 kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Ghelamco- Arena mjini Gent. Genk ilishinda 5-2 Samatta akifunga mabao mawili
Samatta akipiga shuti pembeni ya Rami Gershon wa Gent jana
Mbwana Samatta akipambana katikati ya wachezaji wa Gent
Mbwana Samatta jana alikuwa kero kubwa kwa safu ya ulinzi ya Gent
Mbwana Samatta akinyoosha msuli jana
Mbwana Samatta wa pili kulia waliosimama katika kikosi cha Genk
Cops take action over controversial footy commentator Paul Kent's wild
street fight outside a pub
-
The Fox Sports commentator has been suspended from that role and his job
with the Daily Telegraph while his employers investigate the alleged
incident outs...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment