Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 81 ikiilaza 2-1 Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga. Betis walitangulia kwa bao la Antonio Sanabria dakika ya 24, kabla ya Cristiano Ronaldo kuisawazishia Real Madrid dakika ya 41 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It was the best decision - Asamoah Gyan lauds Fatawu Issahaku for focusing
on club football
-
Former Black Stars captain Asamoah Gyan has praised Abdul Fatawu Issahaku
for his decision to prioritise his club football over national team duty,
describ...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment