Paulo Dybala akiifungia kwa penalti Juventus dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Juventus mjini Torino katika mchezo wa Serie A usiku wa jana dhidi ya AC Milan. Juve ilishinda 2-1 bao lingine likifungwa na Medhi Benatia dakika ya 30, wakati la Milan lilifungwa na Carlos Bacca dakika ya 43 na sasa Kibibi Kizee cha Turin kinaongoza Serie A kwa pointi 11 kikitimiza pointi 70 baada ya kucheza mechi 28 zaidi dhidi ya AS Roma wenye pointi 59 za mechi 27 katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smiling Mo Salah trains with Liverpool team-mates ahead of Tottenham clash,
as he appears to put ugly touchline spat with Jurgen Klopp behind him
-
The forward had an ugly touchline quarrel with manager Jurgen Klopp when
they drew 2-2 with West Ham on Saturday.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment