Paulo Dybala akiifungia kwa penalti Juventus dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Juventus mjini Torino katika mchezo wa Serie A usiku wa jana dhidi ya AC Milan. Juve ilishinda 2-1 bao lingine likifungwa na Medhi Benatia dakika ya 30, wakati la Milan lilifungwa na Carlos Bacca dakika ya 43 na sasa Kibibi Kizee cha Turin kinaongoza Serie A kwa pointi 11 kikitimiza pointi 70 baada ya kucheza mechi 28 zaidi dhidi ya AS Roma wenye pointi 59 za mechi 27 katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea vs Everton - Premier League: Live score, team news and updates as
Blues look to boost chances of Champions League qualification with a win
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Chelsea host Everton at Stamford Bridge in the Premier League.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment