Mario Balotelli akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kufunga bao lake la 10 msimu huu dakika ya 71, timu yake, Nice ikilazimishwa sare ya 2-2 Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice na Caen katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa. Bao lingine la Nice lilifungwa na Anastasios Donis dakika ya 77, wakati ya wageni yalifungwa na Ivan Santini dakika ya 36 na Yann Karamoh dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marty Sheargold's replacement is revealed after radio star was dumped over
his sexist outburst about the Matildas
-
Sheargold was let go by Triple M just days after he made the disgraceful
comments about the national team - with a very well-known footy great to
step in b...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment