Mario Balotelli akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kufunga bao lake la 10 msimu huu dakika ya 71, timu yake, Nice ikilazimishwa sare ya 2-2 Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice na Caen katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa. Bao lingine la Nice lilifungwa na Anastasios Donis dakika ya 77, wakati ya wageni yalifungwa na Ivan Santini dakika ya 36 na Yann Karamoh dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eddie Howe reveals the secret behind Will Osula's success after Newcastle
substitute's stoppage-time matchwinner against Man United
-
IAN LADYMAN AT ST JAMES' PARK: Eddie Howe revealed Newcastle's match winner
Will Osula scored an identical goal in training on Tuesday after asking to
do e...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment