Mario Balotelli akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kufunga bao lake la 10 msimu huu dakika ya 71, timu yake, Nice ikilazimishwa sare ya 2-2 Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice na Caen katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa. Bao lingine la Nice lilifungwa na Anastasios Donis dakika ya 77, wakati ya wageni yalifungwa na Ivan Santini dakika ya 36 na Yann Karamoh dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heat's Erik Spoelstra: Injuries Not to Blame for Celtics Loss with Jimmy
Butler Out
-
Erik Spoelstra isn't looking to make excuses. "We're not going to put this
on the fact that we've had some injuries," the Miami Heat head coach told
report...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment