Leonardo Bonnuci akimpongeza Paulo Dybala (kulia) baada ya mshambuliaji huyo kufunga bao pekee dakika ya 42 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya FC POrto usiku wa jana Uwanja wa Juventus katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya na Juventus sasa inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-0 baada ya awali kushinda 2-0 Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea vs Everton - Premier League: Live score, team news and updates as
Blues look to boost chances of Champions League qualification with a win
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Chelsea host Everton at Stamford Bridge in the Premier League.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment