Nahodha wa Leicester City, Wes Morgan (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa marudiano wa 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa King Power mjini Leicester, Leicestershire, England. Bao la kwanza llilifungwa na Marc Albrighton dakika ya 54 katika mchezo ambao Sevilla ilimaliza pungufu baada ya Samir Nasri kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kumchezea rafu Jamie Vardy na Leicester inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2, baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Josh Tongue reveals how BOTOX saved his career after rare health condition
left him in agony as paceman eyes incredible England comeback after injury
nightmare
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY RICHARD GIBSON: So lengthy had his absence been that
he only debuted for Nottinghamshire - who he joined in 2023 - a fortnight
ago.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment