Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za nne, 61 na 85 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund, Ujerumani. Bao lingine lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 59 na Dortmund inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-1 baada ya kufungwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Suspect dead after ramming vehicle into Michigan synagogue, officials say
-
No serious casualties among those at Temple Israel, and explosives
reportedly found in suspect’s vehicle
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment