Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za nne, 61 na 85 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund, Ujerumani. Bao lingine lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 59 na Dortmund inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-1 baada ya kufungwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jake Paul's fight with Mike Tyson, 57, in Texas is officially sanctioned as
a professional fight with the result to go on both boxers' official records
-
Most Valuable Promotions said that the bout will be sanctioned by the Texas
Department of Licensing and Regulations with the two fighters competing in
14oz...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment