Beki Mholanzi, Nathan Ake kinda wa umri wa miaka 21 anayecheza kwa mkopo AFC Bournemouth kutoka Chelsea kimuonekano ni kama Ruud Gullit, lakini kiuchezaji ni kama Frank Rijkaard, magwiji wa zamani wa Uholanzi. Kijana huyo amekuwa gumzo baada ya kufunga bao la ushindi Jumapili Bournemouth ikiifunga 4-3 Liverpool katika Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham disagrees with Real Madrid team-mate Aurelien Tchouameni
over Bayern Munich star's ability... as he insists to the French
midfielder: 'He's better than your boy!'
-
Eyebrows were raised when the 30-year-old joined Thomas Tuchel 's side on
loan after falling out of favour at Tottenham following the appointment of
Ange P...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment