Beki Mholanzi, Nathan Ake kinda wa umri wa miaka 21 anayecheza kwa mkopo AFC Bournemouth kutoka Chelsea kimuonekano ni kama Ruud Gullit, lakini kiuchezaji ni kama Frank Rijkaard, magwiji wa zamani wa Uholanzi. Kijana huyo amekuwa gumzo baada ya kufunga bao la ushindi Jumapili Bournemouth ikiifunga 4-3 Liverpool katika Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star Latrell Mitchell DELIGHTS fans after interacting with popular
social media creator
-
South Sydney Rabbitohs star Latrell Mitchell has overjoyed footy fans after
a wholesome interaction with a viral social media influencer went viral.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment