Kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-1 dhidi ya West Ham United usiku wa Jumatano Uwanja wa Upton Park kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England. Bao lingine la Man United limefungwa na Marouane Fellaini, wakati la West Ham limefungwa na James Tomkins na sasa Mashetani Wekundu watacheza na Everton katika Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The MCC are 'investigating a misappropriation of funds' after their 2023
financial accounts revealed 'money had gone missing'... as cricket club
announce record income after enthralling Lord's Ashes Test
-
The news broke during the MCC's annual general meeting at Lord's on
Wednesday afternoon, with reports claiming that probe relates to 'money
that has gone m...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment