Mbrazil Carlos Henrique Jose Francisco Venancio 'Casemiro' amekuwa shujaa wa Real Madrid baada ya bao lake la kichwa dakika ya 89 kuipa timu hiyo ushindi wa 2-1 dhidi ya Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria. Bao la wenyeji lilifungwa na Willian Jose Da Silva dakika ya 87, baada Sergio Ramos kutangulia kuifungia Real dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cops take action over controversial footy commentator Paul Kent's wild
street fight outside a pub
-
The Fox Sports commentator has been suspended from that role and his job
with the Daily Telegraph while his employers investigate the alleged
incident outs...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment