Kiungo wa Ujerumani, Mestu Ozil akimtoka kiungo wa England, Dele Alli (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu Uwanja wa Olympia mjini Berlin. England imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Harry Kane, Jamie Vardy na Eric Dier baada ya Ujerumani kutangulia kwa mabao ya Toni Kroos na Mario Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cagey Clarke must take the blame for Scotland's woeful first-half showing
-
Over the past week or so, the Tartan Army have taken over Boston and have
won plenty of new admirers for the colour, energy and good humour they have
broug...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment