Kiungo wa Ujerumani, Mestu Ozil akimtoka kiungo wa England, Dele Alli (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu Uwanja wa Olympia mjini Berlin. England imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Harry Kane, Jamie Vardy na Eric Dier baada ya Ujerumani kutangulia kwa mabao ya Toni Kroos na Mario Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Teenager Suryavanshi smashes 15-ball fifty in IPL
-
Vaibhav Suryavanshi, 15, continues his astonishing run of form in the IPL
as Rajasthan Royals beat Royal Challengers Bengaluru by six wickets.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment