Kiungo wa Ujerumani, Mestu Ozil akimtoka kiungo wa England, Dele Alli (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu Uwanja wa Olympia mjini Berlin. England imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Harry Kane, Jamie Vardy na Eric Dier baada ya Ujerumani kutangulia kwa mabao ya Toni Kroos na Mario Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham cult hero gives update on 'new hip' surgery after being forced to
retire aged 33 following 11 YEARS of discomfort: 'Let's hope this is the
'start of a pain-free life'
-
He dealt with pain for years and is optimistic his latest surgery will be
the start of a new chapter free of discomfort. He shared pictures from
hospital, ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment