Kiungo wa Ujerumani, Mestu Ozil akimtoka kiungo wa England, Dele Alli (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu Uwanja wa Olympia mjini Berlin. England imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Harry Kane, Jamie Vardy na Eric Dier baada ya Ujerumani kutangulia kwa mabao ya Toni Kroos na Mario Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment