Kiungo wa Ujerumani, Mestu Ozil akimtoka kiungo wa England, Dele Alli (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu Uwanja wa Olympia mjini Berlin. England imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Harry Kane, Jamie Vardy na Eric Dier baada ya Ujerumani kutangulia kwa mabao ya Toni Kroos na Mario Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
One rural city in Iowa is getting an upgrade with new affordable housing
and more family entertainment
-
New affordable housing is coming to one rural city in Iowa. Housing is just
one part of Vision Atlantic Inc.'s goal to bring more people to counties in
wes...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment