Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe (kushoto) akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 baada ya kushinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mwezi Januari leo asubuhi viwanja vya Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam kutoka kwa wadhamini wakuu wa ligi hiyo, Kampuni ya Vodacom Tanzania. Wengine kutoka kulia ni Ofisa wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Joel Balisidya, Ofisa Matukio na Udhamini wa Vodacom, Ibrahim Kaude na Meneja wa Azam, Luckson Kakolaki
Uefa Board calls for improvement in VAR consistency
-
The Uefa Football Board says VAR needs to become more "consistent,
transparent and understandable" for players, fans and coaches.
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment