Mchezaji wa Barcelona, Sergi Roberto (kulia) akiruka juu kukwepa miguu ya Eric Bailly wa Villarreal katika mchezo wa La Liga usiku wa leo Uwanja wa El Madrigal. Timu hizo zimtoka 2-2, mabao ya Villarreal yakifungwa na Bakambu na Mathieu aliyejifunga baada ya Barca kutangulia kwa mabao ya Rakitic na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USMNT stars serenaded with 'perfect' rendition of cult classic by fans in
Seattle after historic World Cup win
-
Footage showed the USMNT players taking it all in and applauding the crowd
as they made their way off the field, having put themselves top of Group D
after...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment