Mchezaji wa Barcelona, Sergi Roberto (kulia) akiruka juu kukwepa miguu ya Eric Bailly wa Villarreal katika mchezo wa La Liga usiku wa leo Uwanja wa El Madrigal. Timu hizo zimtoka 2-2, mabao ya Villarreal yakifungwa na Bakambu na Mathieu aliyejifunga baada ya Barca kutangulia kwa mabao ya Rakitic na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham cult hero gives update on 'new hip' surgery after being forced to
retire aged 33 following 11 YEARS of discomfort: 'Let's hope this is the
'start of a pain-free life'
-
He dealt with pain for years and is optimistic his latest surgery will be
the start of a new chapter free of discomfort. He shared pictures from
hospital, ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment