Mchezaji wa Barcelona, Sergi Roberto (kulia) akiruka juu kukwepa miguu ya Eric Bailly wa Villarreal katika mchezo wa La Liga usiku wa leo Uwanja wa El Madrigal. Timu hizo zimtoka 2-2, mabao ya Villarreal yakifungwa na Bakambu na Mathieu aliyejifunga baada ya Barca kutangulia kwa mabao ya Rakitic na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
After a trade deadline sell-off and a rousing road sweep, the 2026 Mets
still have plenty to play for
-
The math indicates that this Mets' season is doomed, but even so, New
York's roster is filled with talented players who have something to prove.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment