Mchezaji wa Barcelona, Sergi Roberto (kulia) akiruka juu kukwepa miguu ya Eric Bailly wa Villarreal katika mchezo wa La Liga usiku wa leo Uwanja wa El Madrigal. Timu hizo zimtoka 2-2, mabao ya Villarreal yakifungwa na Bakambu na Mathieu aliyejifunga baada ya Barca kutangulia kwa mabao ya Rakitic na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League survival is Spurs' priority and Atletico tie can help - Tudor
-
Tottenham Hotspur will prioritise earning Premier League survival over
Champions League progress, says interim manager Igor Tudor.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment