Kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba (katikati) akiruka juu kupiga mpira katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya wenyeji Uholanzi mjini Amsterdam usiku wa jana. Ufaransa ilishinda 3-2 mabao yake yakifungwa na Antoine Griezmann, Olivier Giroud na Blaise Matuidi wakati ya Uholanzi yalifungwa na Luuk de Jong na Ibrahim Afellay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USMNT stars serenaded with 'perfect' rendition of cult classic by fans in
Seattle after historic World Cup win
-
Footage showed the USMNT players taking it all in and applauding the crowd
as they made their way off the field, having put themselves top of Group D
after...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment