Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment