Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anioma monarchs, stakeholders endorse Nwoko for second term, backs South
East alignment
-
From Godwin Tsa, Abuja Izu Anioma, the umbrella body of all Anioma people
in Delta North, has endorsed Senator Ned Nwoko for a second term, citing
his le...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment