Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Eastern Trail 'Close the Gap' project in Southern Maine opens 15 months
early
-
A new 1.6-mile section of the Eastern Trail connecting Scarborough and
South Portland is now open, creating a trail from Bug Light to downtown
Saco.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment