Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ukrainian President Zelensky returns Poland’s highest honour after award is
revoked
-
President Volodymyr Zelensky returns Poland's Order of the White Eagle
after President Karol Nawrocki revoked the award.
The post Ukrainian President Zel...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment