Mgeni Rasmi, Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rashid Mfaume Kawawa (sasa marehemu, wa pili kushoto) akisalimiana na Nahodha wa Majimaji ya Songea, Omar Kapilima kabla ya mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri mwaka 1999 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Majimaji ilifungwa 3-0, Mwingine kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa TFF) Subira Mambo (sasa marehemu pia)
Michael Penix Jr. to Visit Raiders, Broncos, More Before NFL Draft amid
Giants Rumors
-
Washington quarterback Michael Penix Jr. will reportedly meet with a
handful of NFL teams following his pro day on Thursday. Per ESPN's Brady
Henderson, Pe...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment