Mshambuliaji wa Arsenal, Danny Welbeck akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Everton Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo. Bao lingine la Arsenal limefungwa na Alex Iwobi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USMNT stars serenaded with 'perfect' rendition of cult classic by fans in
Seattle after historic World Cup win
-
Footage showed the USMNT players taking it all in and applauding the crowd
as they made their way off the field, having put themselves top of Group D
after...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment