Mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika sare ya 2-2 na wenyeji Brazil usiku wa jana Uwanja wa Pernambuco Arena mjini Recife kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia. Bao lingine la Uruguay lilifungwa na Edinson Cavani, wakati ya Brazil yalifungwa na Douglas Costa na Renato Augusto. Ikumbukwe Suarez alikuwa anaichezea kwa mara ya kwanza Uruguay baada ya miezi 20 ya kutumikia adhabu yake ya kufungiwa kwa kumng'ata Giorgio Chiellini kwenye fainali za kombe la Dunia mwaka 2014 Brazil PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham cult hero gives update on 'new hip' surgery after being forced to
retire aged 33 following 11 YEARS of discomfort: 'Let's hope this is the
'start of a pain-free life'
-
He dealt with pain for years and is optimistic his latest surgery will be
the start of a new chapter free of discomfort. He shared pictures from
hospital, ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment