Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 40 ikishinda 2-0 dhidi ya Ubelgiji Uwanja wa Manispaa ya Dk Magalhaes Pessoa usiku huu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Luis Nani, wakati la Ubelgiji limegungwa na Romelu Lukaku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Atiku raises alarm over suspicious credit to private bank account
-
Presidential Candidate of the African Democratic Congress (ADC) for the
2027 election, Atiku Abubakar, has raised the alarm over a suspicious
credit into...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment