Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 40 ikishinda 2-0 dhidi ya Ubelgiji Uwanja wa Manispaa ya Dk Magalhaes Pessoa usiku huu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Luis Nani, wakati la Ubelgiji limegungwa na Romelu Lukaku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brazil vs Haiti - World Cup Group C LIVE: Carlo Ancelotti's side look to
clinch their first win of the tournament as they return to action in
Philadelphia
-
Follow Daily Mail Sport's live blog as Carlo Ancelotti's side bid for their
first win of the tournament against Group C minnows Haiti in Philadelphia.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment