Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akishangiliapu baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha katika sare ya 2-2 na West Ham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Fabregas pia wakati ya West Ham yamefungwa Manuel Lanzini na Andy Carroll PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shams: Giannis, Damian Lillard in Doubt for Bucks-Pacers Game 5 Due to
Injuries
-
The Milwaukee Bucks may be significantly shorthanded once again when they
take on the Indiana Pacers in Tuesday's Game 5 of their first-round playoff
series.…
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment