Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akishangiliapu baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha katika sare ya 2-2 na West Ham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Fabregas pia wakati ya West Ham yamefungwa Manuel Lanzini na Andy Carroll PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Method marketing and Marty Supreme: How Timothée Chalamet is changing the
game
-
The actor has displayed a knack for crafting viral moments that dominate
our social media feeds. He’s also the future of internet stardom
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment