Nyota wa Barcelona, Lionell Messi (kulia) akifumua shuti kuifungia bao la pili timu yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya Ipurua mjini Eibar. Messi amefunga mabao mawili, wakati mabao mengine yamefungwa na Munir El Haddadi na Luis Suarez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United told to take action against 'scumbag' fans caught posing as
disabled supporters to get into matches... as charity warns their behaviour
'cannot be tolerated'
-
Mail Sport reported this week that United had received 'multiple'
allegations of non-disabled fans turning up to away games in a wheelchair
using tickets a...
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment