Nyota wa West Bromwich Albion, Salomon Rondon akifumua shuti huku beki wa Manchester United, Chris Smalling akijaribu kuzuia katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawthorns. WBA imeshinda 1-0, bao pekee la Rondon dakika ya 66 katika mchezo ambao United ilimaliza pungufu baada ya Juan Mata kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 26 tu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA star reveals cause of dramatic weight gain after fans were left stunned
by recent pictures
-
Injured Indiana Pacers star Tyrese Haliburton revealed the cause behind his
shocking weight gain that had NBA fans concerned for his health.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment