Nyota wa West Bromwich Albion, Salomon Rondon akifumua shuti huku beki wa Manchester United, Chris Smalling akijaribu kuzuia katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawthorns. WBA imeshinda 1-0, bao pekee la Rondon dakika ya 66 katika mchezo ambao United ilimaliza pungufu baada ya Juan Mata kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 26 tu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heat's Erik Spoelstra: Injuries Not to Blame for Celtics Loss with Jimmy
Butler Out
-
Erik Spoelstra isn't looking to make excuses. "We're not going to put this
on the fact that we've had some injuries," the Miami Heat head coach told
report...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment