Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 83 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Old Trafford timu hizo zikitoa sare ya 1-1. Bao la West Ham limefungwa na Dimitri Payet dakika ya 68 na sasa timu hizo zitarudiana kuwania kwenda Nusu Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup Breakfast: Miguel Almiron becomes first player ever sent off for
speaking behind his hand, Emma Hayes' ITV blackboard is 'upgraded', match
highlights - and what to look out for today
-
Hello and welcome to Daily Mail Sport's World Cup Breakfast from day nine
at the tournament - your one-stop shop for everything you've missed
overnight in ...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment