Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 83 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Old Trafford timu hizo zikitoa sare ya 1-1. Bao la West Ham limefungwa na Dimitri Payet dakika ya 68 na sasa timu hizo zitarudiana kuwania kwenda Nusu Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newey lawyers negotiating early exit from Red Bull
-
Leading designer Adrian Newey is negotiating an early exit from Red Bull
that would leave him free to join another team in time for the 2026 season,
BBC Sp...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment