Mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic akiondoka na mpira baada ya kufunga mabao manne katika ushindi wa 9-0 ugenini dhidi ya Troyes kwenye mchezo wa Ligue 1 ya Ufaransa usiku wa leo Uwanja wa Aube. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani, Adrien Rabiot, Dreyer na Saunier aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA star reveals cause of dramatic weight gain after fans were left stunned
by recent pictures
-
Injured Indiana Pacers star Tyrese Haliburton revealed the cause behind his
shocking weight gain that had NBA fans concerned for his health.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment