• HABARI MPYA

    Sunday, March 13, 2016

    IBRAHIMOVIC APIGA NNE PSG IKIMPA MTU 9-0 UFARANSA, TENA UGENINI

    Mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic akiondoka na mpira baada ya kufunga mabao manne katika ushindi wa 9-0 ugenini dhidi ya Troyes kwenye mchezo wa Ligue 1 ya Ufaransa usiku wa leo Uwanja wa Aube. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani, Adrien Rabiot, Dreyer na Saunier aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IBRAHIMOVIC APIGA NNE PSG IKIMPA MTU 9-0 UFARANSA, TENA UGENINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top