Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akimng'ata kiungo wa Everton, Gareth Barry jana Uwanja wa Goodison Park wakati wa mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England baina ya timu hizo. Everton ilishinda 2-0 mabao ya Romelu Lukaku yote. Costa alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuzinguana na kiungo huyo na pia inasemekana aliwaonyesha ishara mbaya mashabiki wa Everton jukwaani. Mwaka 2011, Luis Suarez alisimamishwa kwa kosa kama hilo ugenini kwa Fulham na amekwishafungiwa mara tatu maishani mwake kwa kung'ata wenzake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce, Taylor Swift Auction Eras Tour Tickets at Patrick Mahomes'
Charity Gala
-
Travis Kelce and Taylor Swift auctioned off tickets to the Eras Tour at
Patrick Mahomes' charity gala on Saturday, and they sold for a lofty price.
According…
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment