Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke akishangilia baada ya kufunga bao la ushindi timu yake ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Bao lingine la Liverpool ambalo ilicheza pungufu baada ya James Milner kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 62 lilifungwa na Roberto Firmino, baada ya Joe Ledley kutangulia kuifungia Palace PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ally McCoist is criticised by World Cup viewers for asking why fans were
booing Morocco's rape suspect captain Achraf Hakimi
-
The former Scottish footballer and TV pundit made the remark while
commentating for ITV on Scotland's game against Morocco who beat the Tartan
Army 1-0.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment