Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke akishangilia baada ya kufunga bao la ushindi timu yake ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Bao lingine la Liverpool ambalo ilicheza pungufu baada ya James Milner kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 62 lilifungwa na Roberto Firmino, baada ya Joe Ledley kutangulia kuifungia Palace PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The UK-made boxing game gunning for heavyweight success
-
How a small British developer hopes to put boxing back in contention in the
video game sports genre.
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment